Imewekwa: May 31st, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Staki Senyamule amefanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa madarasa yanayojengwa kwa fedha za mradi wa Boost.
Ukaguzi huo umefanyika Mei 30, 2023 kweny...
Imewekwa: May 26th, 2023
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis ameongoza zoezi la upandaji miti lililofanyika leo Mei 26, 2023 shule ya sekondari Buigiri.
Taasis zi...
Imewekwa: May 19th, 2023
Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Ally Gugu amewataka viongozi Wilayani Chamwino kutekeleza miradi kwa wakati na na kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa kwenye miradi hiyo.
Kauli hiyo ilitolewa wakati w...