• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Zahanati Tano Chamwino Zapatiwa Vifaa Tiba Vyenye Thamani Ya Zaidi Ya Milioni Kumi

Imewekwa: August 14th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja amekabidhi vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya Tsh. 12,194,000 kwa zahanati tano za Mganga, Makoja, Mnase, Itiso, Ikoa. Vifaa tiba hivyo vimetolewa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Improving Tanzania Foundation (ITF) ni pamoja na Mzani wa kupimia watu wazima, seti ya vifaa vya kujifungulia, mashine ya kunyonya uchafu ( sunction mashine) kitanda, kiti cha magurudumu na Mashine ya kupimia presha.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya vifaa tiba hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Chamwino amemshukuru Mkurugenzi wa ITF Bw. Henrish Madambo kwa kuona haja ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha huduma za afya nchini na amemhakikishia kuwa ofisi yake itahakikisha kuwa vifaa hivyo vitatumika ilivyokusudiwa. 

“Niseme tu kwamba vifaa hivi tutavitumia kwa matumizi yaliyokusudiwa kwani kama vifaa vikiwepo lakini huduma zinazotolewa zikawa hafifu, thamanai ya vifaa hivyo haiwezi kuonekana.’

Aidha Mhe. Mayanja amewataka waganga wafawidhi wa zahanati zilizopewa vifaa hivyo kuendelea kuwahudumia wananchi kwa uadilifu, upendo na uzalendo, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha matumizi sahihi ya vifaa vilivyokabidhiwa ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Naye mkurugenzi wa ITF amemshukuru mkuu wa wilaya ya Chamwino kwa mapokezi mazuri aliyopewa katika wilaya ya Chamwino na ameahidi kuendeleza ushirikiano katika kutekeleza miradi mingine ya maendeleo ili kuboresha maisha ya wananchi.

Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Dkt. Euseby Kessy ambaye pia ametoa shukrani kwa wadau hao kwa kutoa vitendea kazi ambavyo vitaongeza ufasi wa utoaji huduma kwenye zahanati hizo

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi 25 Vya Wanawake Na Vijana Vyanufaika Na Mkopo Wa Asilimia Kumi Wenye Thamani Ya Tsh. Milioni 132,850,200

    August 14, 2025
  • Zahanati Tano Chamwino Zapatiwa Vifaa Tiba Vyenye Thamani Ya Zaidi Ya Milioni Kumi

    August 14, 2025
  • Shule za Msingi Na Sekondari Chamwino Zajengewa Vizimba Vya kunawia Mikono

    August 13, 2025
  • Kamishina Tume Huru Ya Uchaguzi Atembelea Mafunzo Ya Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi ya Kata Wilayani Chamwino

    August 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.