• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanawake Manyemba Na Nayu Kuwezeshwa Kupima Ardhi

Imewekwa: August 3rd, 2023

Wataalam wa Ardhi na mifugo wamefanya kikao na  wanachi wa kata ya Dabalo Wilaya Chamwino kwa lengo la kutoa elimu kuhusu mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia rasilimali za ardhi utakaotekelezwa katika vijiji vya Nayu na Manyemba.

Kikao hicho kimefanyika Agosti 2, 2023 katika kijiji cha Nayu na Manyemba ambapo wananchi wamewasilisha hoja na changamoto zinazowapa hofu katika kutekeleza mradi huo.

Akizungumza katika kikao hicho Jafari Abdallah, Afisa tarafa Itiso aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gifty Msuya, alisema mradi huo utasaidia kuinua uchumi kwa wakina mama na jamii nzima.

Alisema wanaume wanapaswa kutoa ushurikiano kwa wake zao kuhakikisha wanapimiwa maeneo yao ili kuondoa migogoro na hofu katika familia.

“Niwaombe sana kina baba tuwaunge mkono na kushirikiana nao ili tuende tukainuke kiuchumi, lakini pia niwaombe kina mama mmepata mradi huu msikae nyuma mtoke muende mkajishughulishe mkajitoe kwenye miradi hii mnyanyuke kiuchumi na mtoke katika hali mliyo nayo sasa”.

“Kwahiyo Mhe. Mkuu wa Wilaya anawaomba sana Serikali inawapenda sana toeni ushirikiano ili kazi iende na itekelezwe bila vikwazo”, alisema.

Aidha kwa upande wake Enock Mligo, Afisa Ardhi wa Halmashauri Chamwino amewatoa hofu wanacnhi kwani maeneo yatapimwa bila gharama zozote zile na watawezeshwa katika masuala ya kilimo.

Amesisitaza kuwa hati miliki zitako tolewa zitaongeza thamani ya ardhi na kuweza kukuza uchumi wa mwanachi husika.

“Mnapimiwa maeneo yenu  bure na mnawezeshwa kwenye masuala ya kilimo, Sambamba na hili hii hatimiliki itaenda kuongeza thamani ya eneo”, alisema.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Chamwino Ahimiza NGO'S Kutoa Taarifa Za Utekelezaji Wa Shughuli Zao

    June 20, 2025
  • Mwenyekiti Halmashauri Chamwino Awashukuru Waheshimiwa Madiwani Na Wakuu Wa Idara

    June 18, 2025
  • Chamwino Yapongezwa Kupata Hati Safi Kwa Hesabu Za Mwaka 2023/2024

    June 16, 2025
  • Mheshimiwa Mayanja Aongoza Zoezi La kuteketeza Ekari Mbili Za Bangi Membe

    June 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.