• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Vikundi 25 Vya Wanawake Na Vijana Vyanufaika Na Mkopo Wa Asilimia Kumi Wenye Thamani Ya Tsh. Milioni 132,850,200

Imewekwa: August 14th, 2025

Mkuu wa wilaya ya chamwino, Mhe. Janeth Mayanja amekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Tsh. 132,850,200 kwa vikundi 25 vya wajasiriamali wanawake na vijana ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Mhe. Mayanja amevitaka vikundi vilivyopewa mikopo viitumie kwa tija ili kujiletea maendeleo ya pamoja na ya mtu mmoja mmoja kama inavyokusudiwa na mwisho viweze kufanya marejesho ili vikundi vingine navyo vikopeshwe.

“Hizi fedha siyo zawadi, ni mkopo isiyo na riba ili urejeshaji wake uweze kuwa rahisi. Nawaomba mkazitumie vizuri mpate faida, muweze kujikwamua, ikiwezakana sasa vikundi vianze kupata mitaji baada ya kufanya shughuli za uzalishaji.” Alisema Mh. Mayanja.

Hali kadhalika amewaasa wanachama wa vikundi vilivyopewa mikopo kuwa mabalozi wa mikopo hiyo ili watu wengine nao wahamasike kuunda vikundi na kubuni miradi itakayowawezesha kupewa mikopo.

“Muwaambie wananchi wengine utaratibu mliofuata ili nao waweze kujiunga kwenye vikundi, waweze kutimiza vigezo kama mlivyotimiza nyinyi kwasababu mikopo hii bado ipo na itaendelea kutolewa”.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Dkt. Eusebi Kessy, amevipongeza vikundi hivyo kwa kukizi vigezo vya kupewa mikopo na amevisisitiza kuitumia ilivyokusudiwa.

Vikundi vilivyokabidhiwa mikopo vinajishughulisha na shughuli mbalimbali za uzalishaji ikiwa ni pamoja na kilimo cha mazao ya chakula, mbogamboga, zabibu, usafirishaji na duka la vifaa vya kuandika (stationery).

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi 25 Vya Wanawake Na Vijana Vyanufaika Na Mkopo Wa Asilimia Kumi Wenye Thamani Ya Tsh. Milioni 132,850,200

    August 14, 2025
  • Zahanati Tano Chamwino Zapatiwa Vifaa Tiba Vyenye Thamani Ya Zaidi Ya Milioni Kumi

    August 14, 2025
  • Shule za Msingi Na Sekondari Chamwino Zajengewa Vizimba Vya kunawia Mikono

    August 13, 2025
  • Kamishina Tume Huru Ya Uchaguzi Atembelea Mafunzo Ya Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi ya Kata Wilayani Chamwino

    August 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.