• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Shule za Msingi Na Sekondari Chamwino Zajengewa Vizimba Vya kunawia Mikono

Imewekwa: August 13th, 2025

Shirika lisilo la kiserikali, Afya Plus limejenga vizimba vya kunawia mikono kwenye shule kadhaa za Halmashauri ya Chamwino, katika jitihada za kuhakikisha kuwa wanafunzi wanakuwa na sehemu ya kunawa mikono kwa maji tiririka na hivyo kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu. 

Hafla ya uzinduzi wa vizimba hivyo imefanyika leo Agosti 13, 2025 katika shule ya sekondari Chamwino na kuhudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Bi. Tulinagwe Ngonile (Afisa Elimu sekondari), baadhi ya Wakuu wa Idara za Halmashauri,wazazi, wanafunzi na walimu wa shule hiyo pamoja na viongozi mbalimbali kutoka shirika la Afya Plus. 

Mwingine aliyeshiriki ni  Afisa Afya Mkoa, Nelson Rumbeni ambaye alikuwa Mgeni Rasmi wa hafla hiyo, na mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Dodoma ambapo katika hotuba yake fupi amelishukuru shirika la Afya Plus kwa kujenga vizimba hivyo na kueleza kuwa vitakuwa chachu ya kuboresha afya za wanafunzi kwa kuwasaidia kujikinga na magonjwa yatokanayo na uchafu.

Vilevile amepongeza wadau wengine mbalimbali waliowezesha ujenzi wa vizimba hivyo wakiwemo wazazi ambao walitoa vifaa vya ujenzi vinavyopatikana katika maeneo yao kama vile mchanga na tofali. 

Aidha, amewahimiza wanafunzi ambao ndio walengwa wa mradi huo kuwa walinzi ili uweze kudumu na kuendelea kuwahudumia.

Naye Mkurugenzi wa shirika la Afya Plus, Bi. Suzan Yumbe amebainisha kuwa Shirika lake litaendelea kutekeleza miradi mingine katika mkoa wa Dodoma ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vyoo katika shule zenye uhitaji. 

Shule zilizonufaika na mradi huo ni shule ya sekondari Chamwino, shule ya sekondari Buigiri, shule ya msingi Chamwino, Uguzi na Buigiri misheni.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi 25 Vya Wanawake Na Vijana Vyanufaika Na Mkopo Wa Asilimia Kumi Wenye Thamani Ya Tsh. Milioni 132,850,200

    August 14, 2025
  • Zahanati Tano Chamwino Zapatiwa Vifaa Tiba Vyenye Thamani Ya Zaidi Ya Milioni Kumi

    August 14, 2025
  • Shule za Msingi Na Sekondari Chamwino Zajengewa Vizimba Vya kunawia Mikono

    August 13, 2025
  • Kamishina Tume Huru Ya Uchaguzi Atembelea Mafunzo Ya Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi ya Kata Wilayani Chamwino

    August 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.