• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Mayanja Aagiza Kufanyika Siku Za Lishe Vijijini

Imewekwa: October 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Janeth Mayanja ameagiza watendaji wa kata kuhakikisha wanafanya siku za lishe vijijini.

Mh. Mayanja ametoa maagizo hayo wakati akiongoza kikao cha robo ya kwanza cha lishe katika Wilaya ya Chamwino kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Siku hizo za lishe ambazo hutakiwa kufanyika kila baada ya miezi mitatu katika vijiji zimetajwa kuwa ni muhimu kwa ajili ya kuleta uelewa kwa wananchi ili waweze kuzingatia hatua za lishe. Aidha, DC Mayanja amewataka watendaji hao kuhakikisha taarifa za lishe zinabandikwa katika mbao za matangazo ya vijiji na wanashiriki katika siku ya lishe katika kila kijiji ndani ya kata zao.

Akizungumzia katika suala la chakula shuleni,  Mh. Janeth Mayanja amewataka watendaji ngazi ya kata na vijiji kuhakikisha wanakaa na wazazi na kutafuta namna nzuri ya kuchangia chakula shuleni ili kuhakikisha wanafunzi wote katika shule za Wilaya ya Chamwino wanapata chakula muda wa shule na sio tu kwa madarasa ya mitihani pekee.

Sanjari na hilo, ameshauri kutolewa kwa zawadi kwa shule na kata zote ambazo wanafunzi wake wote wanapata chakula shuleni. Aidha, ameahidi kuanzia kikao kinachofuata kupitia ofisi ya Mkuu wa Wilaya ataanza kutoa motisha kwa shule ambazo wanafunzi wake wanapata chakula shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Chamwino Ahimiza NGO'S Kutoa Taarifa Za Utekelezaji Wa Shughuli Zao

    June 20, 2025
  • Mwenyekiti Halmashauri Chamwino Awashukuru Waheshimiwa Madiwani Na Wakuu Wa Idara

    June 18, 2025
  • Chamwino Yapongezwa Kupata Hati Safi Kwa Hesabu Za Mwaka 2023/2024

    June 16, 2025
  • Mheshimiwa Mayanja Aongoza Zoezi La kuteketeza Ekari Mbili Za Bangi Membe

    June 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.