• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Senyamule Awaasa Vijana Kuchangamkia Fursa Za Kiuchumi Zinazopatikana Kwenye Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa: February 26th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino jana Februari 26, 2026 ikiwa na lengo la kuangalia maendeleo ya miradi hiyo.

Katika ziara hiyo Mhe. Senyamule aliongozana na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe, Janeth Mayanja, Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Tito Mganwa pamoja na wataalam mbalimbali kutoka ofisi yake na taasisi za Serikali zinazopatikana Wilaya Chamwino.

Miradi ya Maendeleo iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na ujenzi wa Zahanati ya Msanga, ujenzi wa daraja la mawe barabara ya Mpera, ujenzi wa shule ya Sekondari ya Amali-Nzali, ujenzi wa ofisi za Tanesco Wilaya ya Chamwino na shamba la zao la matufaa.

Akizungumza wakati akikagua mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali-Nzali Mhe. Senyamule amewaasa Wananchi hasa vijana wa Kijiji cha Nzali Kata ya Chilonwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitakazotokana na uwepo wa mradi huo mkubwa wa shule ya ufundi uliogharimu takribani shilingi za Tanzania bilioni 1.6.

"Kuwa na shule hii watoto wanakaa bweni hapa kwenu nyie ni fursa, hapa watakuwa wanahitaji kula mboga za majani, maharage, kula wali. Mkuu wa Shule akiwepo hapa awe anawaelekeza vijana waliopo karibu namna gani wapate tenda ili kuwepo kwa wale wageni kuwe kwao ni baraka". Alisema Mhe. Senyamule.

Sambamba na hilo, amewataka wananchi hao kuhakikisha wanatunza miundombinu ya shule hiyo moja katika Mkoa mzima wa Dodoma inayopatikana katika Kijiji cha Nzali kwani ni bahati kwao kupata mradi huo.

Aidha, amewataka pia Wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya uwepo wa mafua makali kwa kuepuka kusalimiana kwa kushikana mikono na kuosha mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na maambukizi ya magonjwa hayo.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Baraza La Wafanyakazi Chamwino Lasuka Mkakati Kuongeza Bajeti 2026/2027

    March 27, 2026
  • RC Senyamule Awaasa Vijana Kuchangamkia Fursa Za Kiuchumi Zinazopatikana Kwenye Miradi Ya Maendeleo

    February 26, 2026
  • ALAT Dodoma - Halmashauri Nyingine Za Mkoa Wa Dodoma Zijifunze Chamwino

    February 21, 2026
  • Walimu Chamwino Wapatiwa Mafunzo Kuhush Mabadiliko Ya Tabia Ya Nchi

    February 14, 2026
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • AXL777
  • situs toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • yamitoto
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • toto
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto slot
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77